welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Friday, 16 January 2015

VITUKO VYA DUNIANI:Kijana wa Kiume Mwenye hipsi zaidi ya mwanamke


Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechukua nafasi katika mitandao mbalimbali ya kijamii kutokana na kuwa na umbo la kike ambalo ukimuangalia kwa haraka huwezi kuamini kama ni Mwanaume.

Kijana huyo ambae ni mwanamuziki ameishangaza dunia kwa kuwa na umbo la Mwanamke ambae ana mahipsi makubwa kama mwanamke au zaidi ya mwanamke na hadi nguo anazovaa ni za kike.
Stori kubwa ni pale wanawake wanapotamani umbo la mwanaume huyo hadi kuamua kwenda kutafuta umbo hilo kwa madaktari, wanawake wengi katika jiji la chicago wametokea kuvutia na umbo la mwanaume huyo ambae kiukweli ana umbo la kike na kupelekea kuwa na hipsi ambazo hata wanawake wenyewe huishia kuzitamani.

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...