welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Wednesday, 27 May 2015

DIR ERICK BACKAMAZA WA DODOMA: AJA KIVINGINE NA HIKI NDICHO KIPYA AMBACHO ULIKUWA HUKIJUI KUTOKA KWAKE

DIR. ERICK BAKAMAZA-DODOMA
Ukianza kuorodhesha madirector wakali toka kanda ya kati basi list yako itakuwa haijakamilika kama hujamtaja Dr. Erick Backamaza toka Dodoma, miongoni mwa kazi ambazo aliwai kuitoa ni video ya MAYA yake One six na ilifanikiwa kufanya vizuri kwenye TV kubwa za bongo ikiwemo EATV
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu jamaa alikuwa chimbo akijipanga kuachia mabomu ya hatari na sasa yupo tayari , na  sasa tayari amemtangaza msanii wake ambaye anaanza nae kazi kwenye project mpya ambaye ni BIG DADY.
kupitia ukurasa wake wa Facebook Dir Backamaza ameandika ujumbe huu kwa mafansiwake pamoja na kuambatanisha na picha. 
'''''''TO MA BELOVED FUNS
Nimekuwa Kimya kwa Mda flan
Hii ni kwa sababu za Kiufundi
Hope kuanzia Tarehe 06/06/2015 Narejea Kivingne
==Tangu Naanza Sikutamani KUTOKA,Nilitamani Tu KUINGIA==''''''''''
miongoni mwacha picha toka kwenye video mpya
 
 JAMBO JEMA TOKA KWA DIRECTOR HUYO ni kuwa kwa sasa yupo kwenye kampuni YAKE  mpya ambayo ni After Daylight company ambayo ipo jijini Dar na tawi lake ni mkoani dodoma na kuongozwa na backamaza
kumfahamu zaidi Director Erick Bakamaza pitia ukurusa wake wa Facebook

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...