![]() |
ROSE MUHANDO |
MWANAMUZIKI wa
nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando anasakwa na Jeshi la Polisi Kituo
cha Kijitonyama ‘Mabatini’ jijini Dar baada ya mchungaji mmoja wa
Kinigeria anayefanya shughuli zake nchini DR Congo, Kabagambe Tchanda
kumshitaki akidai kumlipa fedha ili akafanye onesho badala yake akaingia
mitini.
No comments:
Post a Comment