welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Thursday, 28 August 2014

KAMA ULIKUWA HUFAHAMU HUYU NDIYE MTOTO WA B-DOZEN WA CLOUDS FM

Inawezekana umefahamu mengi sana kuhusu mtangazaji wa radio Hamis Mandi aka B-12 aka B-DOZEN wa kipindi cha XXL cha Clouds FM huenda ulikuwa hufahamu kuwa ni baba au hujawahi kumuona mtoto wake.
Kupitia Instagram Dozen ameamua kushare na mashabiki wake picha ya mtoto wake wa kiume.
''My son is cool like that...'' ameandika Dozen katika caption ya picha hiyo (juu)

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...