Inawezekana
umefahamu mengi sana kuhusu mtangazaji wa radio Hamis Mandi aka B-12
aka B-DOZEN wa kipindi cha XXL cha Clouds FM huenda ulikuwa hufahamu
kuwa ni baba au hujawahi kumuona mtoto wake.
Kupitia Instagram Dozen ameamua kushare na mashabiki wake picha ya mtoto wake wa kiume.
''My son is cool like that...'' ameandika Dozen katika caption ya picha hiyo (juu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment