welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Monday, 25 August 2014

Picha: Kim Kardashian amtega Usher kwenye tuzo za MTV VMA, ashindwa kuficha

 Kivazi cha Kim Kardashian kinachoonesha mwili wake katika tuzo za MTV VMA 2014 zilizofanyika usiku wa kuamkia leo kilimtega mwanamuzi Usher Raymond ambaye alishindwa kufanya siri.

Usher alishindwa kuficha ama kuangalia kwa kuibia baada ya Kim K kumpita kwenye red carpet na akaamua kugeuka tena bila kujali paparazzi waliokuwa mbele yake.

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...