Mwanamuziki na blogger Nuru the Light kupitia ukurasa wake wa Facebook ameomba wa Tanzania kumpigia kura msanii cindy Rulz..nukuu
"Msanii
CINDY RULZ amekuwa nominated kwenye underground music awards huko
marekani so anaomba kura zako ili aweze chukua tuzo,,kwanza hongera zake
maana hii ni juhudi na amepiga step kwenye mziki wake na kuitangaza
Tanzania,,more fire gyaaaaaal!!!"
unaeza mpigia kura CINDY RULZ kama tangazo lilivojieleza asanteni
posted by the blogger
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment