Kikosi chetu cha siri cha
usajili kikiongozwa na Francis Kifukwe kimefanikisha kazi hiyo leo baada
ya kukutana na uongozi wa JKT.
Ni moja ya pendekezo la kocha Maximo, na huyu kijana ni kati ya chipukizi waliopo timu ya taifa ya wakubwa kwa sasa, Taifa Stars chini ya kocha Mholanzi, Mart Nooij ambao wanainukia vizuri.
Ni moja ya pendekezo la kocha Maximo, na huyu kijana ni kati ya chipukizi waliopo timu ya taifa ya wakubwa kwa sasa, Taifa Stars chini ya kocha Mholanzi, Mart Nooij ambao wanainukia vizuri.
noumaaa saaana
ReplyDeletenaikubali yanga jamani uwii,,,,hapo nazidi kuwapenda bure
ReplyDelete