Friday, 19 September 2014
HABARI PICHA
Nchini Tanzania uhusiano wa kikazi kati ya polisi na waandishi wa habari kwa mara nyingine tena unazua maswali mazito.
Hapo jana ikatokea waandishi kadhaa kushambuliwa kwa kipigo na polisi walipofika makao makuu ya polisi kufuatilia tukio la kiongozi wa chama cha upinzani kuitwa mujibu maswali kuhusu madai ya kuchochea ghasia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment