Kwa mujibu wa mtandao wa Big Brothe Africa, Idris Sultani ameeleza
kuwa ana mikakati na anatumaini washiriki wenzake watamgeukia yeye pale
wanapotaka kuwa inspired au wanapokuwa katika wakati mgumu.
Hata hivyo, taarifa za awali ambazo hazijathibitishwa bado na
waandaaji wa Big Brother zilimtaja Idris Sultani na muigizaji Irene Veda
kuwa ndio watakaoiwakilisha Tanzania.
Baada ya Idris kutangazwa leo, taarifa hizo za awali zimepewa nafasi
zaidi. huenda Irine akatangazwa hivi karibuni japo hakuna uhakika wa
kutosha.
Washiriki wengine waliotajwa leo kuwa kati ya wanaowania ushindi
katika shindano hilo lilopewa jina la ‘Hot Shots’ ni Goitse kutoka
Uganda na Esther kutoka Uganda.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment