welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Thursday, 4 September 2014

Mwanafunzi wa kike wa Shule ya Msingi Upendo iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam mwenye umri wa miaka 11 amenaswa na Jeshi la Polisi Dar jana (Septemba 4, 2014) eneo la Posta kwa tuhuma za wizi na utapeli wa njia za udanganyifu.

Mwanafunzi wa kike wa Shule ya Msingi Upendo iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam mwenye umri wa miaka 11 amenaswa na Jeshi la Polisi Dar jana (Septemba 4, 2014) eneo la Posta kwa tuhuma za wizi na utapeli wa njia za udanganyifu.

USHAURI WA BURE: JAMANI WATOTO WA KIKE MSICHEZE NA ELIMU, MKAMATENI SANA ELIMU MSIMUACHE AENDE ZAKE, JAMANI HUWEZI KUONA FAIDA LEO ILA UTAIONA BAADAE..PENDA SHULE, JITOE, VUMILIA, KAZANA, KWANI  HATA HAO MATAJIRI WENYE PESA, MAJUMBA WASIO KUWA NA ELIMU WANATAMANI KURUDI SHULE....MSICHEZE NA HASA UKIWA NA MSAADA, KUNA WATU WANATAMANI NAFASI ZENU NYIE MNAZICHEZEA... MAJUTO NI MJUKUU.
   IKIKUFAA CHUKUA KWA FAIDA YAKO!

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...