Sunday, 14 September 2014
WIMBO WA ALIKIBA MWANA NDIO UNAOONGOZA KWA KUPAKULIWA KATIKA TOVUTI YA MKITO.COM
Nyimbo mbili za Alikiba zimefanikiwa kuongoza kama nyimbo
zinazopakuliwa kwa wingi katika tovuti ya Mkito.com. Wimbo uliotokea
kupendwa zaidi wa Mwana ulipanda hadi nafasi ya kwanza ndani ya masaa 12
baada ya kuzinduliwa Julai 24 mwaka huu.
Mpaka sasa “Mwana” ya Alikiba imeendelea kuwa wimbo uliopakuliwa zaidi
tangu kuanzishwa kwa Mkito.com mwezi Mei mwaka huu. Wanamuziki wengine
wanaofanya vizuri ndani ya Mkito ni Fid Q, Vanessa Mdee, Young Killer,
Diamond Platnumz, Linah, Rich Mavoko, ROMA, Mkubwa na Wanawe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment