welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Friday, 30 January 2015

Mshindi wa mbio za Boston na Chicago Marathon Rita Jeptoo apigwa marufuku ya miaka 2

 
Mshindi wa mbio za Boston na Chicago Marathon katika kipindi cha miaka miwili iliopita mkenya Rita Jeptoo amepigwa marufuku katika mchezo huo kwa miaka miwili baada ya kugunduliwa alitumia dawa za kusisimua misuli,shirikisho la riadha nchini Kenya AK limesema.
''AK imefuata maagizo yote katika kisa cha Rita na kwamba ni haki kwa yeye kupewa marufuku ya miaka miwili'',afisa mkuu wa shirikisho hilo Issac Kamande aliwaambia waandishi habari.
Jeptoo amekana kutumia dawa za kusisimua misuli ,akiwaamba wana habari mwaka uliopita kwamba madai hayo dhidi yake ni ya uongo.
chanzo BBC-SWAHILI

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...