welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Tuesday, 20 January 2015

SHULE YA SEKONDARI NALIENDELE YAPOKEA MAMIA YA VITABU VYA SAYANSI


Katika kutekeleza sera ya Matokeo makubwa sasa (BRN), shule ya Sekondari ya Naliendele iliyopo katika manispaa ya Mtwara mikindani imepokea mzigo wa kutosha wa vitabu vya masomo ya Sayansi. Vitabu hivyo vimetolewa na serikali ikishirikiana na wahisani wake ambapo lengo ni kuhakikisha kitabu kimoja kinatumiwa na wanafunzi wawili. Wakizungumzia tukio hili baadhi ya waalimu wa shule hiyo wamefurahishwa na mgao huo wa vitabu na kuomba kuletewa vingine vingi vya masomo ya sanaa na sayansi ya jamii.
Mwalimu Kajuta Zongo (Katibu no 1 wa shule) Akiwa haamini kilicho tokea

Baadhi ya vitabu vilivyo pokelewa tayari kwa kusajiliwa na kuanza kutumika.

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...