welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Friday, 6 February 2015

HIKI NDICHO ALICHOKIPOST JANA DIAMOND PLATNUMZ KATIKA UKURASA WAKE WA FACEBOOK KUHUSIANA NA

DIAMOND AKIWA INDIA
"Sikuzote, Binadam tunapanga yetu lakini Mwenyez Mungu Ndio Anaye amua lipi litimie... Nlitamani sana kuwepo Siku ya tareh 7 Jumamosi hii kwenye Uzinduzi wa Video 4 toka kwa kaka zangu @chegechigunda @madeeali na @mhtemba pale Escape One, lakini kutokana na tatizo lilio nje ya uwezo wangu imenibidi niwe nje ya Tanzania...Tafadhali sana ukiwa kama Shabiki yangu wa dhati, #TeamWasafi, ama Mwenye mapenzi ya dhati kwa Mziki wetu wa Bongo flavour.... tafadhali naomba kwa hisani yenu mkaniwakilishe siku hiyo kuwasupport Wakubwa zetu... na ukifika tu piga picha na utapoipost HashTag Neno #RPDiamond yaani (Representing Diamond) nami Ntaiona Picha Yako ukiwa na marafiki zako na Ntairepost Hapa Pamoja na kukutag Jina Lako... Nawaaminia 07/02/2015 ESCAPE ONE!!!"
SOMA ZAIDI HAPA

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...