welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Monday, 16 February 2015

UINGEREZA:KIFUNGO CHA MIAKA MIWILI JELA UKIVUJISHA PICHA ZA VIDEO ZA UTUPU

Kumekuwa na ishu ya kuvuja kwa picha za utupu za watu mbalimbali ikiwemo mastaa kwenye mitandao, wakati mwingine tumesikia wenye picha hizo wakilalamika kwamba zimevujishwa na wapenzi wao wa zamani.
Kutokana na kuwepo kwa malalamiko ya aina hii, Uingereza wamepitisha Sheria, iwapo ukivujisha picha za utupu za mtu yoyote bila idhini yake ni kifungo cha miaka miwili pamoja na faini.
Kwa Marekani hii Sheria imepitishwa kwenye majimbo 12 tayari.
Ishu za kuvujisha picha, video zipo hata Bongo pia, unadhani ikipitishwa Sheria itasaidia kukomesha hii?

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...