welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Wednesday, 4 February 2015

WANAWAKE WAWILI WA JINSIA MOJA WAMEPIGA PICHA YA SELFIE MBELE YA MWANASIASA ANAYEPINGA MAHUSIANO YA JINSIA MOJA WAKIWA WANAKISS

Russia 1 
Wakati idadi kubwa ya watu duniani ikiendelea kupinga mapenzi ya jinsia moja ambayo yamehalalishwa na baadhi ya nchi kubwa duniani, Russia limetolea hili jingine jipya.
Ni habari ambayo imezungumziwa sana kwa saa kadhaa zilizopita baada ya Wanawake wawili ambao ni wapenzi wa jinsia moja kupiga picha mbele ya Mwanasiasa maarufu kwa kupinga mapenzi ya jinsia moja.
Wanawake hawa walijikuta kwenye ndege moja na Mwanasiasa huyo wakitokea Moscow kwenda St. Petersburg  ambapo waliamua kupiga picha ya selfie wakipigana busu huku Mwanasiasa akionekana nyuma yao.
Waliipost picha baadae na kuandika ‘Sisi tunafuraha, yeye hawezi kuwa nayo… lakini kwani nani anajali?’ Milonov hakusema chochote baada ya kugundua tunapiga picha ila alijificha’

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...