Balozi wa Vatican nchini Tanzania ametangaza kuwa baba mt. Francis amemteua padre Edward Mapunda kuwa askofu wa jimbo la Singida.askofu aliyekuwepo hapo awali alihamishiwa jimbo la Bukoba na jimbo likabaki wazi hadi uteuzi huu mpya
Mpaka wakati wa uteuzi wake alikuwa mhasibu wa jimbo la Singida.
Hongera wana Singida na kanisa la Tanzania.
source: Jamii Forum
No comments:
Post a Comment