welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Friday, 1 May 2015

Jaguar apata shavu NACADA

Raisi Uhuru Kenyata na Jaguar
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amemteua Jaguar kuingia kwenye bodi ya mamlaka NACADA inayohusika na kampeni dhidi ya matumizi ya pombe na dawa za kulevya ya nchini humo.
Jaguar amechaguliwa katika nafasi hiyo na maafisa wengine 302 kutokana na hekima, uzoefu, ujuzi, nguvu, ubunifu na kusaidia kundi la vijana katika jamii.
Uteuzi huo ulitangazwa kupitia tangazo gazetini April 27.
Hata hivyo wengi wanahisi Jaguar amepewa shavu hilo kutokana na ukaribu na urafiki mkubwa alionao na Uhuru Kenyatta.

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...