Wasio na ajira waelekeze nguvu sekta binafsi, Ajivunia kipindi chake alitoa ajira milioni mbili.
Rais
Jakaya Kikwete, amesema serikali haina nafasi za ajira kwa sasa na
kuwataka watu wasio na ajira kuelekeza nguvu zao katika sekta binafsi.
Akihutubia sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi,
iliyofanyika kitaifa jijini Mwanza jana, Rais Kikwete alisema kwa sasa
serikali yake haina matumaini ya kuwapa ajira wale wasio na ajira bali
wanachotakiwa ni kutegemea zaidi sekta binafsi. “Matumaini ya kupata ajira serikalini kwa sasa hakuna, bali kimbilieni katika sekta binafsi,” alisema Kikwete.
Soma zaidi NIPASHE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment