welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Thursday, 18 June 2015

KUMBUKUMBU YA MIAKA 21 YA KIFO CHA BABA YETU KIPENZI MR. HUSSEIN HABIBU NYENZI

Ni miaka ishirini na moja (21) sasa tangu ututoke Baba yetu mpendwa Hussein Habibu Nyenzi.Unakumbukwa sana na Mkeo Mrs. Nyenzi (Mama Leyla), watoto wako Leyla Nyenzi, Habiba Nyenzi na Salma Nyenzi, Pia na Ndugu, jamaa na marafiki zako wote , Tulikupenda sana ila Mwenyezi-Mungu amekupenda zaidi. 
Allah akulaze daima mahala pema peponi. Amin.

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...