welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Tuesday, 9 June 2015

RAFIKI WA MSICHANA: KITABU KIMEANDIKWA NA TUNSUME (GRACE) MLAWA

Rafiki_wa_msichana. Kuna makosa mengine tunafanya kwa sababu tu ya kukosa maarifa katika maeneo fulani. Kuna fursa zimetupita kwa sababu ya upeo mdogo tulionao. Usiri mkubwa wa kujadili baadhi ya mambo katika ngazi ya familia umesababisha madhara ambayo yangeweza kuepukika. Ni wazazi wachache sana hukaa na mabinti zao na kuwafundisha kwa undani mambo yanayowahusu, changamoto na jinsi ya kukabiliana na mabadiliko mbalimbali.Ni wakati sasa wa kutoona haya na kuchukua hatua madhubuti za kuwasaidia watoto wetu, wadogo zetu, rafiki zetu, n.k Kujitambua, kujithamini na kuwa na ujasiri wa kutosha kuisimamia kweli. #mtaijua_kweli_na_hiyo_kweli_itawaweka_huru,
#NENO_lake_ndiyo_kweli

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...