welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Thursday, 21 August 2014

BABA AMESEMA (ROBERT MUGABE): WAAFRIKA SASA TUACHE UTEGEMEZI JAMANI:

RAISI ROBERT MUGABE
Mwenyekiti mpya wa jumuiya ya SADC, raisi Robert Mugabe ameziasa nchi za kusini mwa Africa kuachana tabia ya utegemezi wa misaada, (hasa kutoka nchi za magharibi) ambayo imekuwa kama kaugonjwa barani Africa, na badala yake kutumia vizuri rasilimali zao kama vile madini na ardhi ili kukuza uchumi. SOMA ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...