Muimbaji
wa nyimbo za Injili Tanzania ambae pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha
amefunguka na kusema kuwa hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na na
Mchungaji wa Kanisa la kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima,Flora amesema hayo alipokuwa akichat Live kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV katika kipengele cha Kikaangoni Live .Flora
amesema kuwa hawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu ambae ni
ndugu yake hivyo Mchungaji Gwajima ni mjomba wake na si mpenzi wake kama
ambavyo watu wamekuwa wakizusha kwa lengo la kumchafua na kumshushia
hadhi."Hayo ni maneno tu ya watu mtaani ila MchungajiGwajima ni mtumishi wa Mungu na ni uncle wangu ninawezaje kuwa na mahusiano na uncle wangu..? "Alihoji Flora.
wakati
akijibu ya maswali ya mashabiki ambayo mengi yao yalikuwa yakimtuhumu
na huku watu wengi wakitaka kujua ukweli juu ya ugomvi uliopo kati yake
na Mumeo kama ni kweli au ni skendo tu za magazeti,Flora aliweka wazi
kuwa kuna vyombo vya habari ambavyo vimekuwa na lengo la kumchafua na
kumualibia sifa ndio maana walitumia gharama kubwa kufanya wanavyoweza
ili kutimiza malengo yao,mbasha amedai kuwa alimua kukaa kimya kwa kuwa
hakukuwa na ukweli wowote.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment