welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Tuesday, 19 August 2014

KITENGE NA KATANGA WAAGA RADIO ONE NA IPP
MAULIDI KITENGE
Watangazaji wa kipindi cha Spoti Leo cha Radio One cha jijini Dar es Salaam, Omary Katanga na Maulid Baraka Kitenge wametangaza kuacha kazi zao kwenye redio hiyo pamoja na kazi zote za makampuni ya IPP inayomilikiwa na ndugu Reginald Mengi.
Katika barua yake Kitenge anasema sababu kuu ni kupanda kwa gharama za maisha hivyo analazimika kutafuta njia mbadala ya kujiongezea kipato. (Soma barua yake hapo chini).
Kitenge ametaangaza kuacha kazi leo August 18, 2014 wakati Katanga ni tangu tarehe 15 mwezi huu pia.
"SPOOOOTIIIIII LEEEEEEEEEOOOO. . . . . Tanta lalallalaaa"
Hii sauti hatuisikii tena.

Mwana-Yanga, nimeandika hii habari makusudi kwa vile Kitenge ni MwanaJangwani mwenzetu tena hadi mamaa yake mzazi.

"""""WEWE MAULIDI WEWE  MBONA AMEONDOKA GHAFLA HIVYO, NA HATA SABABU SIJAISOMA VIZURI, KUNA TATIZO GANI RADIO ONE??!!


Uthibitisho

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...