welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Thursday, 14 August 2014

Mtu moja (Pichani) katika kijiji cha Iyumbu wilaya ya Ikungi mkoani Singida aliyejifanya Daktari amesababisha kifo cha mgonjwa kwa kumwekea chupa TISA za maji (Drip) zikiwa zimechanganywa na dawa pamoja na vidonge Sita ambavyo havijafahamika.
Zaidi soma => http://bit.ly/1utEnZB

Prosper Simson , Mtuhumiwa

1 comment:

  1. hiyo yote maisha magumu na roho mbaya tu......apalekwe mbele ya sheria tu huyo...

    ReplyDelete

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...