Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone amefungiwa mechi nane kwa utovu
wa nidhamu alioonesha kwenye mechi ya Spanish Super Cup. Simeone, 44,
alimgusa mmoja wa waamuzi kisogoni katika mechi iliyokuwa imejaa hamasa
kati ya Atletico Madrid na Real Madrid, ambapo Atletico walishinda 2-1.
Shirikisho la soka la Spain (RFEF) limethibitisha kuwa adhabu hiyo ni ya
makosa manne tofauti. Kocha msaidizi German Burgos atasimamia mechi za
Attletico wakati wa adhabu hii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment