"Uhamisho huu unawakilisha misingi ya klabu na nadhani tumefanya biashara nzuri tu hapa," amesema bosi wa Liverpool, Brendan Rodgers. Balotelli, ambaye atavaa jezi namba 45, amesema alifanya makosa kuondoka England mwaka jana. "Nimefurahi kurejea tena, kwa sababu nilifanya makosa kuondoka England," amesema na kuongeza "Nilitaka kwenda Italy, lakini nikagundua ni makosa."
![]() |
BALOTELLI |
No comments:
Post a Comment