Mtayarishaji wa muziki kutoka
Combination Sound, Man Walter aliwahi kutangaza kumaliza tofauti kati
yake na 20 Percent aliyewahi kufanya vizuri kupitia mikono yake na kwa
pamoja wakaeleza mpango wa kufanya mradi mpya.
Man Water ameongea na tovuti ya Times Fm na kueleza walipofikia baada ya ukimya wa muda mrefu tangu walipotangaza hatua hiyo.
“Off Course kwa sasa siwezi kuongelea
sana kwa sababu wazo lilienda vizuri lakini nadhani kuna vitu viwili
vitatu vilikwama, sijapata tena mawasiliano mazuri na 20. Labda tuvute
subira tu, kwa sababu kama watu wana lengo la kufanya jema litakuwa
tu…nadhani tuvute subira kwake.” Man Walter ameiambia tovuti ya Times Fm
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment