Mkubwa wa kazi ambaye amewahi kushika
nafasi kubwa za uongozi katika taifa hili na mwenye kasi ya ajabu katika
medani za siasa, uchumi katika chama chake, amekuwa akiwaonya wapinzani
wake kutotumia kete ya mali zake kama njia ya kumchafua ki siasa.
Amesema hapendezwi na hilo, na jambo
hilo halina tija kwa siasa zetu za Tanzania, kuna mijadala mingi ya ki
taifa ya kujadili kwa maendeleo yetu na siyo mali zake kwani anazo mali
za kawaida kuliko inavyozushwa.
Kakazia kwamba wapinzani wake wasijikite katika mali zake kwani "ALIYEPATA AMEPATA".
Haya wadau hizi ndiyo siasa za bongo watu wamewekeza kwenye kuchafuana tu. Chama cha CCM kazi ipo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment