Mshambuliaji kutoka nchini Italian Super Mario Balotelli, ameshindwa
kujizuia na kulazimika kuagiza gari lake aina ya Ferrari F12 Berlinetta
kutoka nchini Italia.
Balotelli, amelazimika kufanya hivyo kutokana na mazoea yaliyojengeka
ya kutumia gari hilo mara kwa mara katika safari zake, tangu
alipolinunua akiwa na klabu ya AC Milan kwa gharama ya Paund 240,000.
Katika hali ya kushangaza hii leo mshambuliaji huyo, alitinga kwenye
uwanja wa mazoezi wa Liverpool akiwa anaendesha gari hilo na kuwafanya
waandishi wa habari kushangaa kutokana na kutoamini alichokifanya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!
Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com ! Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...
-
UTANGULIZI. Uyoga ni aina ya nyuzi kuvu (fungus) yenye kutofautiana na mimea mingine kwa kukosa chembe chembe zinazowezesha mimea ku...
-
Kutoka Jiji la Chicago Nchini Marekani Kijana wa Kiume Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye umri wa miaka 20 amechuk...
No comments:
Post a Comment