welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Thursday, 18 September 2014

Waandishi wapelekwa Chaka: Kanye West aifunga timu ya walemavu ya mpira wa kikapu points 106

Habari ya kutengenezwa iliyowekwa kwenye mtandao inaeleza kuwa Kanye West ameifunga timu ya mpira wa kikapu ya watoto walemavu wa miguu kwa points 106.
Habari hiyo isiyo ya kweli iliyosambazwa na baadhi ya waandishi ambao hawakutaka kuthibitisha inaeleza kuwa timu ya watoto hao waliokuwa wamefungwa kwenye kiti maalum ‘Wheelchair’ ilicheza na Kanye West katika shughuli ya kijamii iliyolenga kupunguza mtafaruku uliopo kati ya rapper huyo na watu wenye ulemavu.
Habari hiyo idai kuwa mtafaruku kati ya Kanye na walemavu umetokana na hatua ya Kanye West kugoma kuendelea kuimba kwenye tamasha lake hadi mtu aliyekuwa kwenye ‘wheelchair’ aamke wakati kiuhalisia alikuwa mlemavu/mgonjwa wa miguu.

Taarifa hiyo ya uongo iliyoanzia kwenye mtandao maarufu wa kutengeneza habari wa Daily Currant ilinasomeka hivi:
A charity basketball game didn't go exactly as planned yesterday when Kanye West scored 106 points against a team of handicapped children in wheelchairs.
"The game was a PR move intended to smooth over the controversy that erupted this week between Kanye and the disabled community. At one of his concerts recently West repeatedly asked wheelchaired fans to stand, and refused to apologize for his mistake afterwards.
"The Basketball Wheelchair Charity for Cancer event pitted disabled middle school children against Kanye and his entourage. Kanye's team seemed hesitant to play as hard since they were not also in wheelchairs as originally planned."
The satirical article also carried a made-up quote from the organisers, which read: "Both teams were supposed to be playing in wheelchairs but Kanye's camp said Mr. West would be playing the 'normal' way."
The About section of the website reads: "The Daily Currant is an English language online satirical newspaper that covers global politics, business, technology, entertainment, science, health and media. It is accessible from over 190 countries worldwide - now including South Sudan.
"Our mission is to ridicule the timid ignorance which obstructs our progress, and promote intelligence - which presses forward."
Hata hivyo, sio waandishi peke yao waliopelekwa chaka, baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii pia waliishare hii habari kwa kuiamini.

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...