![]() |
RAISI JAKAYA KIKWETE |
Taarifa iliyotolewa jana na Kurugenzi ya
Mawasiliano, Ikulu, ilisema Rais atahutubia Mkutano wa 69 wa Baraza Kuu
la Umoja wa Mataifa mjini New York pamoja na kuhudhuria mikutano muhimu
Washington, D.C.
Akiwa Mjini New York, Rais Kikwete atashiriki
katika mikutano mikubwa zaidi ya 10 iliyopangwa kufanyika Septemba 24
hadi Oktoba Mosi. Rais Kikwete amepangwa kuwa kiongozi wa 12 duniani
kuhutubia baraza hilo.
Septemba 25. Pia atakuwa mwenyekiti wa Kamati ya
Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu mazingira
(CAHOSC) ulioitishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki
Moon.
No comments:
Post a Comment