welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Friday, 5 December 2014

Hii Ndio Kauli ya Uhuru Kenyatta kwenye Twitter

Rais Uhuru Kenyatta
Taarifa ya mahakama ya ICC, kutupilia mbali kesi dhidi ya Uhuru Kenyatta, imepokelwa na watu wengi nchini Kenya kwa hisia mseto.
Baadhi wanahisi kuwa waathiriwa wa ghasia za baada ya uchaguzi watakosa haki ingawa baadhi wanahisi kwua Uhuru Kenyatta hakupaswa hata kufikishwa ICC tangu hapo.
Lakini swali ni jee Rais Kenyatta alipokea vipi habari hiyo?
Haya ndio aliyokuwa nayo ya kusema kwenye akaunto yake ya Twitter:
  • ''Nimepokea habari kwamba kiongozi wa mashitaka ICC ametupilia mbali kesi dhidi yangu ........''
  • ''Daima nimekuwa nikisema kuwa kesi za Kenya ICC ziliharakishwa sana kupelkewa katika mahakama ya ICC bila kufanyiwa uchunguzi wa kina.
  • "moyo wangu hauna shauku hata kjidogo. ''
  • "mara kwa mara nimekuwa nikiwasisitizia wakenya na dunia nzima kuwa sina hatua. ''
  • "uamuzi huu ni afueni kubwa sana kwangu kwani ulipaswa kutolewa miaka sita iliyopita. Umechelewa sana ''
  • ''Nimefurahishwa sana na habari hizi ambazo nimekuwa nikizisubiri tangu jina langu kuhusishwa na kesi iliyowasilishwa Hague dhidi yangu.''
  • ''Kadhalika Naibu wangu William Ruto ni kiungo muhimu sana kwa serikali yangu na ninathamini umuhimu wake''

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...