welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Tuesday, 2 December 2014

VIFO VYA AJALI YA MKANYAGENI TANGA VYAONGEZEKA

VIFO vya watu 11 waliofariki kwa ajali ya gari hapo jana iliyohusisha Costa ya abiria na lori la mizigo katika eneo la Mkanyageni wilayani Muheza Mkoani Tanga vimeongezeka na kufikia kumi na tatu.
Ajali hiyo ilihusisha Costa yenye namba za usajili T 410 BJD iliyokuwa ikitokea jijini Tanga ikielekea wilayani Lushoto na lori namba T645 ABJ lililokuwa likitokea moshi mkoani Kilimanjaro.

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...