welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Saturday, 6 December 2014

VOTE VOTE VOTE: HAPPYNESS WATIMANYWA AENDELEA KUOMBA WATANZANIA KUMPIGIA KURA

Happyz
HAPPINESS WATIMANYWA
Mshindi wa Taji la Miss Tanzania 2013 ambaye pia ameshiriki mashindano ya Miss World mwaka 2014, Happiness Watimanywa ameandika ujumbe kupitia Facebook na Twitter.
Katika ujumbe huo ameonyesha kufurahi kuwa mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano hayo makubwa ya Dunia na pia amewashukuru Watanzania kwa kumpigia kura na kumpa support kubwa.
Happiness kaandika ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa Facebook; “It has been a pleasure being here in #London representing #Tanzania for this year’s#MissWorld‘s #MW2014 pageant. Thank you #Tanzania for supporting me. Please keep voting for Tanzania. #Oxforddebate #charitygala #topmodel #MissWorld2014 #MW2014#lessonlearnt #wellappreciated — in London, Miss

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...