welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Thursday, 27 November 2014

MTOTO WA MIAKA 5 AFA MAJI – SHINYANGA

 
Juhudi za kuokoa maisha ya mtoto Marck Kiwesa mwenye umri wa miaka 5 aliedumbukia katika kisima cha maji wakati akicheza na wenzake mapema leo asubuhi zimegonga mwamba baada ya kupatikakana akiwa amefariki dunia.
Tukio hili limetokea katika manispaa ya Shinyanga katika shule ya awali ya sheer bliss ambapo marahemu alikuwa akicheza na wenzanke karibu na shimo ambalo lilikuwa halikufunikwa.
Polisi mkoani Shinyanga inamshikilia mmiliki wa shule hiyo kwa mahojiano zaidi.
Tarehe 20 November mwaka 2013 serikali ilitoa notisi kwa mmiliki wa shule kuifuga kutokana na kukosa usajiri.
source: star tv facebook page

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...