welcome

Your welcome to Leyla Nyenzi Blog, Dodoma-Tanzania, for the only latest Audio's,Video's,Photo's, Events and Advertisement.

Thursday, 27 November 2014

SIMANZI:Mchezaji wa kriketi Philip Hughes afariki

Hughes alikuwa na umri wa miaka 25

Mchezaji huyo amefariki siku chache baada ya kupata majeraha alipogongwa kichwani na mpira siku ya Jumanne wiki hili alipokuwa akicheza mjini Syney.
Ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 25. Awali Madaktari walimfanyia upasuaji kwenye ubongo wake lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya
Familia yake inasema kuwa imeshtushwa mno na kifo chake.
Waziri mkuu wa Australia Tony Abbott ameelezea masikitiko yake kuhusiana na kifo cha mcheazji huyo mashuhuri mweney umri mdogo.

No comments:

Post a Comment

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia mkito.com!

Kuwa wa kwanza kupata ladha kutoka kwa wakali wa huu muziki Afrika Kusini kupitia  mkito.com !  Bila shaka utakuwa umeusikia huu wimbo kw...